Skip to content
Mwanzo 50:1-3

Mwanzo 50:1-3

1
Basi Yosefu akamwangukia baba yake, akalilia juu yake na akambusu.
2
Ndipo Yosefu akawaagiza matabibu waliokuwa wakimhudumia, wamtie baba yake Israeli dawa ili asioze. Hivyo matabibu wakamtia dawa asioze,
3
wakatumia siku arobaini, kwa maana ndio muda uliotakiwa wa kutia dawa ili asioze. Nao Wamisri wakamwombolezea Yakobo kwa siku sabini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options