Skip to content
Mwanzo 50:1-3

Mwanzo 50:1-3

1
Basi Yosefu akamwangukia baba yake, akalilia juu yake na akambusu.
2
Ndipo Yosefu akawaagiza matabibu waliokuwa wakimhudumia, wamtie baba yake Israeli dawa ili asioze. Hivyo matabibu wakamtia dawa asioze,
3
wakatumia siku arobaini, kwa maana ndio muda uliotakiwa wa kutia dawa ili asioze. Nao Wamisri wakamwombolezea Yakobo kwa siku sabini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options