Aller au contenu
Mwanzo 46:6-7

Mwanzo 46:6-7

6
Wakachukua pia mifugo yao na mali walizokuwa wamezipata Kanaani, Yakobo na uzao wake wote wakashuka Misri.
7
Akawachukua wanawe na binti zake, wajukuu wake wa kiume na wa kike, yaani uzao wake wote mpaka Misri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options