Skip to content
Mwanzo 46:19-20

Mwanzo 46:19-20

19
Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni: Yosefu na Benyamini.
20
Huko Misri, Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yosefu wana wawili, Manase na Efraimu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options