Skip to content
Mwanzo 41:5-6

Mwanzo 41:5-6

5
Farao akaingia usingizini tena akaota ndoto ya pili: Akaona masuke saba ya nafaka, yenye afya na mazuri, yanakua katika bua moja.
6
Baadaye, masuke mengine saba yakachipua, yakiwa membamba yaliyonyaushwa na upepo wa mashariki.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options