Skip to content
Mwanzo 4:13-14

Mwanzo 4:13-14

13
Kaini akamwambia Bwana, “Adhabu yangu ni zaidi ya niwezavyo kustahimili.
14
Leo unanifukuza kutoka nchi, nami nitafichwa mbali na uwepo wako. Nitakuwa mtu wa kutangatanga asiyetulia duniani na yeyote anionaye ataniua.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options