Skip to content
Mwanzo 4:1-2

Mwanzo 4:1-2

1
Adamu akakutana kimwili na mkewe Eva, naye akapata mimba, akamzaa Kaini. Eva akasema, “Kwa msaada wa Bwana nimemzaa mwanaume.”
2
Baadaye akamzaa Abeli ndugu yake. Basi Abeli akawa mfugaji, na Kaini akawa mkulima.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options