Skip to content
Mwanzo 39:21-22

Mwanzo 39:21-22

21
Bwana alikuwa pamoja naye, akamhurumia na kumpa kibali mbele ya msimamizi wa gereza.
22
Kwa hiyo msimamizi wa gereza akamweka Yosefu awe mkuu wa wafungwa pamoja na kusimamia yote ambayo yalitendeka mle gerezani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options