Skip to content
Mwanzo 39:14-16

Mwanzo 39:14-16

14
akawaita watumishi wake wa nyumbani, akawaambia, “Tazameni! Huyu Mwebrania ameletwa hapa kutudhihaki! Aliingia hapa ndani ili akutane nami kimwili, lakini nikapiga kelele.
15
Aliposikia kelele za kuomba msaada, akaacha vazi lake kando yangu akakimbilia nje.”
16
Yule mwanamke akaliweka lile vazi karibu naye mpaka Potifa aliporudi nyumbani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options