Mwanzo 39:14-15
14
akawaita watumishi wake wa nyumbani, akawaambia, “Tazameni! Huyu Mwebrania ameletwa hapa kutudhihaki! Aliingia hapa ndani ili akutane nami kimwili, lakini nikapiga kelele.
15
Aliposikia kelele za kuomba msaada, akaacha vazi lake kando yangu akakimbilia nje.”