Mwanzo 38:27-28
27
Wakati ulipofika wa kujifungua, kukawa na wana mapacha tumboni mwake.
28
Alipokuwa akijifungua, mmoja akatoa mkono wake nje, kwa hiyo mkunga akachukua uzi mwekundu na kuufunga mkononi mwa yule mtoto, akasema, “Huyu ametoka kwanza.”