Skip to content
Mwanzo 34:8-10

Mwanzo 34:8-10

8
Lakini Hamori akawaambia, “Moyo wa mwanangu Shekemu umeelekea kwa binti yenu. Tafadhali mpeni awe mke wake.
9
Oaneni na sisi, tupeni binti zenu, nanyi mchukue binti zetu.
10
Mwaweza kuishi katikati yetu, nchi ni wazi kwenu. Ishini ndani yake, fanyeni biashara humu na mjipatie mali.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options