Skip to content
Mwanzo 34:30-31

Karipio la Yakobo na jibu

Mwanzo 34:30-31
30
Kisha Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi, “Mmeleta taabu kwangu kwa kunifanya ninuke kama uvundo kwa Wakanaani na Waperizi, watu waishio katika nchi hii. Sisi ni wachache, kama wakiunganisha nguvu zao dhidi yangu na kunishambulia, mimi na nyumba yangu tutaangamizwa.”
31
Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options