Skip to content
Mwanzo 33:3-4

Mwanzo 33:3-4

3
Yeye mwenyewe akatangulia mbele na kusujudu mara saba alipomkaribia ndugu yake.
4
Lakini Esau akamkimbilia Yakobo kumlaki na kumkumbatia, akamwangukia shingoni na kumbusu. Nao wakalia.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options