Skip to content
Mwanzo 31:20-21

Mwanzo 31:20-21

20
Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia.
21
Hivyo akakimbia pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo na kuvuka Mto Frati akaelekea nchi ya vilima katika Gileadi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options