跳到主要内容
Mwanzo 31:10-11

Mwanzo 31:10-11

10
“Wakati fulani majira ya kuzaliana niliota ndoto ambayo niliinua macho na kuona kwamba wale mabeberu waliokuwa wakipanda kundi walikuwa wa mistari, madoadoa na mabakabaka.
11
Malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo.’ Nikamjibu, ‘Mimi hapa.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options