Skip to content
Mwanzo 3:17-18

Mwanzo 3:17-18

17
Kwa Adamu akasema, “Kwa sababu umemsikiliza mke wako na ukala kutoka kwenye mti niliokuamuru, ‘Msile tunda lake,’ “Ardhi imelaaniwa kwa sababu yako, kwa kazi ngumu utakula chakula kitokacho humo siku zote za maisha yako.
18
Itazaa miiba na mibaruti kwa ajili yako, nawe utakula mimea ya shambani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options