Skip to content
Mwanzo 29:7-8

Mwanzo 29:7-8

7
Akasema, “Tazama, jua bado liko juu, si wakati wa kukusanya mifugo. Nywesheni kondoo na mwarudishe malishoni.”
8
Walijibu, “Haiwezekani, mpaka kondoo wote wakusanyike na jiwe liwe limevingirishwa kutoka mdomo wa kisima. Ndipo tutanywesha kondoo.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options