Skip to content
Mwanzo 26:19-21

Mwanzo 26:19-21

19
Watumishi wa Isaki wakachimba katika lile bonde wakagundua huko kisima chenye maji safi.
20
Lakini wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaki wakisema, “Maji haya ni yetu!” Ndipo akakiita kile kisima Eseki, kwa sababu waligombana naye.
21
Kisha wakachimba kisima kingine, lakini hata hicho pia wakakigombania, akakiita Sitna.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options