Skip to content
Mwanzo 25:5-6

Mwanzo 25:5-6

5
Abrahamu akamwachia Isaki kila kitu alichokuwa nacho.
6
Lakini Abrahamu alipokuwa bado hai, akawapa watoto wa masuria wake zawadi, kisha akawaondoa waende kuishi pande za mashariki mbali na mwanawe Isaki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options