Skip to content
Mwanzo 25:29-30

Mwanzo 25:29-30

29
Siku moja Yakobo alipika mchuzi wa dengu, Esau akarudi kutoka porini akiwa na njaa kali.
30
Esau akamwambia Yakobo, “Haraka, nipe huo mchuzi mwekundu! Nina njaa kali sana!” (Hii ndiyo sababu pia aliitwa Edomu.)
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options