Skip to content
Mwanzo 24:50-51

Mwanzo 24:50-51

50
Labani na Bethueli wakajibu, “Jambo hili limetoka kwa Bwana, hatuwezi kukuambia jambo lolote baya au jema.
51
Rebeka yuko hapa, mchukue na uende, awe mke wa mwana wa bwana wako, sawasawa na Bwana alivyoongoza.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options