အကြောင်းအရာသို့ ကျော်သွားရန်
Mwanzo 23:15-16

Mwanzo 23:15-16

15
“Nisikilize, bwana wangu, thamani ya ardhi hiyo ni shekeli 400 za fedha, lakini hiyo ni nini kati yako na mimi? Mzike maiti wako.”
16
Abrahamu akakubali masharti ya Efroni, akampimia ile fedha aliyotaja masikioni mwa Wahiti: Shekeli 400 za fedha kulingana na viwango vya uzito vilivyokuwa vikitumika wakati huo na wafanyabiashara.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options