Mwanzo 22:9-10
9
Walipofika mahali pale alipokuwa ameambiwa na Mungu, Abrahamu akajenga madhabahu hapo, akaziweka kuni juu yake. Akamfunga Isaki mwanawe na akamlaza kwenye madhabahu, juu ya zile kuni.
10
Kisha akanyoosha mkono wake na akachukua kisu ili amchinje mwanawe.