মূল বিষয়বস্তুতে যান
Mwanzo 21:31-32

Mwanzo 21:31-32

31
Hivyo mahali pale pakaitwa Beer-Sheba, kwa sababu watu wawili waliapiana hapo.
32
Baada ya mapatano kufanyika huko Beer-Sheba, Abimeleki na Fikoli mkuu wa majeshi yake wakarudi katika nchi ya Wafilisti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options