Skip to content
Mwanzo 21:31-32

Mwanzo 21:31-32

31
Hivyo mahali pale pakaitwa Beer-Sheba, kwa sababu watu wawili waliapiana hapo.
32
Baada ya mapatano kufanyika huko Beer-Sheba, Abimeleki na Fikoli mkuu wa majeshi yake wakarudi katika nchi ya Wafilisti.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options