Skip to content
Mwanzo 19:24-25

Mwanzo 19:24-25

24
Ndipo Bwana akanyesha moto wa kiberiti uliotoka mbinguni kwa Bwana juu ya Sodoma na Gomora.
25
Hivyo akaiteketeza miji ile na eneo lote la tambarare, pamoja na wote waliokuwa wanaishi katika miji, hata pia mimea yote katika nchi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options