Skip to content
Mwanzo 18:20-21

Mwanzo 18:20-21

20
Basi Bwana akasema, “Kilio dhidi ya Sodoma na Gomora ni kikubwa sana na dhambi yao inasikitisha sana,
21
kwamba nitashuka nione kama waliyoyatenda ni mabaya kiasi cha kilio kilichonifikia. Kama sivyo, nitajua.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options