Mwanzo 17:17-18
17
Abrahamu akaanguka kifudifudi, akacheka na kusema moyoni mwake, “Je, mtu wa miaka mia moja aweza kuzaa mwana? Je, Sara atazaa mtoto katika umri wa miaka tisini?”
18
Abrahamu akamwambia Mungu, “Laiti Ishmaeli naye angeshiriki baraka yako!”