Skip to content
Mwanzo 16:13-14

Mwanzo 16:13-14

13
Hagari akampa Bwana aliyezungumza naye jina hili: “Wewe ndiwe Mungu unionaye mimi,” kwa maana alisema, “Sasa nimemwona yeye anayeniona mimi.”
14
Ndiyo sababu kisima kile kikaitwa Beer-Lahai-Roi, ambacho bado kipo huko hata leo kati ya Kadeshi na Beredi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options