Skip to content
Mwanzo 16:10-11

Mwanzo 16:10-11

10
Malaika akaendelea akasema, “Nitazidisha wazao wako, hivi kwamba watakuwa wengi mno wasiohesabika.”
11
Pia malaika wa Bwana akamwambia: “Wewe sasa una mimba nawe utamzaa mwana. Utamwita jina lake Ishmaeli, kwa sababu Bwana amesikia juu ya huzuni yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options