Skip to content
Mwanzo 15:2-3

Mwanzo 15:2-3

2
Lakini Abramu akasema, “Ee Bwana Mwenyezi, utanipa nini na mimi sina hata mtoto na atakayerithi nyumba yangu ni huyu Eliezeri Mdameski?”
3
Abramu akasema, “Hukunipa watoto, hivyo mtumishi katika nyumba yangu ndiye atakuwa mrithi wangu.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options