Skip to content
Mwanzo 14:5-6

Mwanzo 14:5-6

5
Mnamo mwaka wa kumi na nne, Mfalme Kedorlaoma na wafalme waliojiunga naye walikwenda kupigana na kuwashinda Warefai katika Ashtaroth-Kanaimu, Wazuzi katika Hamu, Waemi katika Shawe-Kiriathaimu,
6
na Wahori katika nchi ya kilima cha Seiri, hadi El-Parani karibu na jangwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options