Skip to content
Mwanzo 14:11-12

Mwanzo 14:11-12

11
Wale wafalme wanne wakateka mali yote ya Sodoma na Gomora pamoja na vyakula vyao vyote, kisha wakaenda zao.
12
Pia walimteka Loti mwana wa ndugu yake Abramu pamoja na mali zake, kwa kuwa alikuwa akiishi Sodoma.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options