Skip to content
Mwanzo 13:8-9

Mwanzo 13:8-9

8
Hivyo Abramu akamwambia Loti, “Pasiwe na ugomvi wowote kati yangu na wewe, wala kati ya wachungaji wangu na wako, kwa kuwa sisi ni ndugu.
9
Je, nchi yote haiko mbele yako? Tutengane. Kama ukielekea kushoto, nitakwenda kulia; kama ukielekea kulia, mimi nitakwenda kushoto.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options