Skip to content
Mwanzo 13:3-4

Mwanzo 13:3-4

3
Kutoka Negebu, akapita mahali hadi mahali, hadi akafika Betheli, mahali hapo ambapo mwanzoni alipiga hema lake kati ya Betheli na Ai
4
hapo ambapo alikuwa amejenga madhabahu ya kwanza. Huko Abramu akaliitia jina la Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options