Skip to content
Mwanzo 11:6-7

Mwanzo 11:6-7

6
Bwana akasema, “Ikiwa kama taifa moja wanaozungumza lugha moja wameanza kufanya hili, basi hakuna lolote watakalopanga kufanya ambalo halitawezekana kwao.
7
Njooni, tushuke tuvuruge lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options