Mwanzo 11:20-23
20
Reu alipokuwa na miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi.
21
Baada ya Reu kumzaa Serugi, aliishi miaka 207, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
22
Serugi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Nahori.
23
Baada ya Serugi kumzaa Nahori, aliishi miaka 200, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
Settings