Skip to content
Mwanzo 11:20-23

Mwanzo 11:20-23

20
Reu alipokuwa na miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi.
21
Baada ya Reu kumzaa Serugi, aliishi miaka 207, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
22
Serugi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Nahori.
23
Baada ya Serugi kumzaa Nahori, aliishi miaka 200, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options