Skip to content
Mwanzo 11:12-13

Mwanzo 11:12-13

12
Wakati Arfaksadi alipokuwa na miaka thelathini na mitano, akamzaa Shela.
13
Baada ya Arfaksadi kumzaa Shela, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options