Skip to content
Mwanzo 1:9-10

Mwanzo 1:9-10

9
Mungu akasema, “Maji yaliyopo chini ya anga na yakusanyike mahali pamoja, pawepo na nchi kavu.” Ikawa hivyo.
10
Mungu akaiita nchi kavu “ardhi,” nalo lile kusanyiko la maji akaliita “bahari.” Mungu akaona kuwa ni vyema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options