Skip to content
Mwanzo 1:6-7

Mwanzo 1:6-7

6
Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya maji igawe maji na maji.”
7
Kwa hiyo Mungu akafanya nafasi, akatenganisha maji yaliyo chini ya hiyo nafasi na maji yaliyo juu yake. Ikawa hivyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options