Skip to content
Mwanzo 1:2-3

Mwanzo 1:2-3

2
Wakati huu dunia ilikuwa haina umbo, tena ilikuwa tupu. Giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, naye Roho wa Mungu alikuwa ametulia juu ya maji.
3
Mungu akasema, “Iwepo nuru,” nayo nuru ikawepo.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options