Wagalatia 6:6-8
6
Basi, yeye afundishwaye katika neno na amshirikishe mwalimu wake mema yote.
7
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.
8
Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.