Skip to content
Wagalatia 4:5-6

Wagalatia 4:5-6

5
kusudi awakomboe wale waliokuwa chini ya sheria, ili tupate kupokea zile haki kamili za kufanywa watoto wa Mungu.
6
Kwa sababu ninyi ni watoto wa Mungu, Mungu amemtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, anayelia, “Abba, Baba.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options