Skip to content
Wagalatia 4:1-2

Wagalatia 4:1-2

1
Lile nisemalo ni kwamba wakati wote mrithi bado ni mtoto, hana tofauti na mtumwa, ingawa ndiye mmiliki wa mali yote.
2
Yeye huwa yuko chini ya uangalizi wa walezi na wadhamini mpaka ufike wakati uliowekwa na baba yake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options