Skip to content
Wagalatia 3:8-9

Wagalatia 3:8-9

8
Maandiko yakitabiri kwamba Mungu angewahesabia haki watu wa Mataifa kwa imani, alitangulia kumtangazia Abrahamu Injili akisema kwamba, “Kwa kupitia kwako mataifa yote yatabarikiwa.”
9
Kwa sababu hii, wale wote wanaoamini wanabarikiwa pamoja na Abrahamu, mtu wa imani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options