Skip to content
Wagalatia 3:2-5

Wagalatia 3:2-5

2
Nataka nijifunze neno moja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa kushika sheria, au kwa kuyaamini yale mliyosikia?
3
Je, ninyi ni wajinga kiasi hicho? Baada ya kuanza kwa Roho, je, sasa mwataka kumalizia katika mwili?
4
Je, mlipata mateso kiasi hicho bure? Ni kama kweli yalikuwa bure!
5
Je, Mungu huwapa Roho wake na kufanya miujiza katikati yenu kwa sababu mnatii sheria, au kwa sababu mnaamini kile mlichosikia?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options