Skip to content
Wagalatia 3:2-5

Wagalatia 3:2-5

2
Nataka nijifunze neno moja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa kushika sheria, au kwa kuyaamini yale mliyosikia?
3
Je, ninyi ni wajinga kiasi hicho? Baada ya kuanza kwa Roho, je, sasa mwataka kumalizia katika mwili?
4
Je, mlipata mateso kiasi hicho bure? Ni kama kweli yalikuwa bure!
5
Je, Mungu huwapa Roho wake na kufanya miujiza katikati yenu kwa sababu mnatii sheria, au kwa sababu mnaamini kile mlichosikia?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options