Skip to content
Wagalatia 1:18-20

Wagalatia 1:18-20

18
Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa na nilikaa naye siku kumi na tano.
19
Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
20
Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options