Skip to content
Ezra 7:1-5

Ezra 7:1-5

1
Baada ya mambo haya, wakati wa utawala wa Artashasta mfalme wa Uajemi, Ezra mwana wa Seraya, mwana wa Azaria, mwana wa Hilkia,
2
mwana wa Shalumu, mwana wa Sadoki, mwana wa Ahitubu,
3
mwana wa Amaria, mwana wa Azaria, mwana wa Merayothi,
4
mwana wa Zerahia, mwana wa Uzi, mwana wa Buki,
5
mwana wa Abishua, mwana wa Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani mkuu Aroni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options