Skip to content
Ezekieli 43:4-5

Ezekieli 43:4-5

4
Utukufu wa Bwana ukaingia hekaluni kwa kupitia lango linaloelekea upande wa mashariki.
5
Kisha Roho akanichukua na kunileta katika ule ua wa ndani, nao utukufu wa Bwana ulilijaza Hekalu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options