Skip to content
Ezekieli 43:1-3

Ezekieli 43:1-3

1
Kisha yule mtu akanileta kwenye lango linaloelekea upande wa mashariki,
2
nami nikaona utukufu wa Mungu wa Israeli ukija kutoka upande wa mashariki. Sauti yake ilikuwa kama ya ngurumo ya maji yaendayo kasi, nayo nchi ikangʼaa kwa utukufu wake.
3
Maono niliyoyaona yalikuwa kama maono yale niliyokuwa nimeyaona wakati Mungu alipokuja kuangamiza mji na kama maono niliyokuwa nimeyaona kando ya Mto wa Kebari, nami nikaanguka kifudifudi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options