Ezekieli 43:1-2
1
Kisha yule mtu akanileta kwenye lango linaloelekea upande wa mashariki,
2
nami nikaona utukufu wa Mungu wa Israeli ukija kutoka upande wa mashariki. Sauti yake ilikuwa kama ya ngurumo ya maji yaendayo kasi, nayo nchi ikangʼaa kwa utukufu wake.